Vinara wa Ligi Kuu bara, Yanga wameendelea na mazoezi yao leo kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar.


Yanga wameendelea na mazoezi kujiwinda kwa ajili ya mechi yao dhidi ya Ruvu Shooting itakayopigwa kesho


Pamoja na kufanya mazoezi ya kukimbia, Hans van der Pluijm aliwaongoza vijana wake kucheza soka la haraka huku akisisitiza kila upande kutopoteza mpira.
Uchezaji wa kila kikosi ulionyesha kuwa makini huku kila upande ukitaka kushinda dhidi ya mwingine.

Advertisement

 
Top