KATIBU BMT

Wakati kukiwa na mvutano kati ya klabu ya Simba na Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF), Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limeingilia kati mvutano huo na kutoa maagizo mato kwa TFF na Simba.
Katibu Mkuu wa BMT ametoa taarifa (barua) kwa vyombo vya habari akizitaka taasisi hizo mbili kumalizana kwa njia ya amani huku akisisitiza kila upande kutimiza majukumu yake kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zinazokubalika.
Barua ya maelekezo kutoka BMT kwa TFF na Simba;

Advertisement

Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post
 
Top