BAADA ya kutulia kwa muda mrefu, sasa usiku wa Uefa umewadia tena ambapo kesho mechi mbili za ligi ya mabingwa barani Ulaya  raundi ya 16 bora zitapigwa.
Paris-Saint Germain watawakaribisha wazee wa Darajani kutokea Londond, England, Chelsea The Blues.
Shakhtar Donetsk watachuana na Bayern Munich ya Ujerumani.
Keshokutwa jumatano, Basel itashuka dimbani kuchuana na FC Porto, wakati Schalke 04 itaikaribisha Real Madrid

Advertisement

 
Top